Showing posts with label udaku wa bongo. Show all posts
Showing posts with label udaku wa bongo. Show all posts
Photos:Diamond Platnumz Is a Lucky Man!See How Zari Hassan Changes Up Her Look And She Looks AMAZING!

Photos:Diamond Platnumz Is a Lucky Man!See How Zari Hassan Changes Up Her Look And She Looks AMAZING!

Diamond Platnumz really knows how to pick them.
After dating beauties like Jokate and Wema Sepetu Diamond decided  Kuvuka border and there he met Ugandan socialite Zari Hassan with whom he has fathered a daughter by the name Tiffah Nasibu.
A few months after giving birth, Zari has revamped her style and has decided to go for a bob instead of her long wavy hair and she looks pretty amazing.
zari_hot_2.jpg
zari_hot_3.jpg
zari_hot.jpg

Revealed:Jokate And Ali Kiba Still In Love to Each Other...

Few days ago it was reported Jokate and Ali Kiba have split, it is said Ali Kiba has been cheating on Jokate with his ex-girlfriend living in abroad . But soon after the news of their alleged break up Jokate took to instagram to share the above hot photo with Ali Kiba just silently to tell haters they are still together, Even today the former beauty queen, presenter, actress and fashion designer shared a photo with Zabibu Kiba who is Ali Kiba's sister.
Kiba didn't post the photo Jokate shared, and it is said Jokate loves Kiba more than how he loves her. last week in an interview with Sporah Show Kiba admitted that he never approached any girl in his life so people even started to believe Jokate forced Kiba to be in love with.

What do you think ?
Jokate with Zabibu Kiba...
Kumekucha!!!Wema Sepetu Could Now Be Having a Baby with BBA Winner Idris Sultan

Kumekucha!!!Wema Sepetu Could Now Be Having a Baby with BBA Winner Idris Sultan

After some ups and downs with Diamond Platnumz and Ommy Dimpoz and scuffles with Zari Hassan over Diamond, Wema’s heart has finally found a resting place. And the lucky man is none other than Idris Sultan.
Idris took to social media to declare his undying love for the former Miss Tanzania and even hinted that they could be expecting a baby:
Me and You are not the ordinary. I sleep, eat, talk and wake up to only thinking about you. As much as utadhani kuwa you are blessed to have me no no i am blessed to have you.
At 1st it was weird me kuangalia ndani ya kabati langu kuona nguo zako na viatu au ukiwa unaongea na mimi unaniambia vitu kama "Hivi baby unahisi akiwa wa kiume utafanyaje maana naona umekazana na wa kike" au ukiingia jikoni kwangu and take over my house with good food. The way you look at other women wakinisogelea, how you always know when i need a kiss or a tight hug. The way you force me kuangalia Disney channel, how you wake up early these days to make me breakfast. I might bring you the most beautiful rose flower in the world and it will never look even half as beautiful as you are. When you're jealous unasonya sonya, when am jealous I smile. I would move mountains and planets just to make you happy. I will protect you, love you, spoil you, fight with you, cook with you, watch movies together, drive at night for no reason, sit with you and just stare at the stars.
You're more than i ever asked for; you're my everything "My Wife" he wrote.

Idris Sultan Amtusi Diamond Platnumz

Idris Sultan Amtusi Diamond Platnumz

WEMA-LOVEIdris Sultan na Wema Sepetu
DAR ES SALAAM: Hii dharau! Siku chache baada ya staa wa Bongo, Wema Sepetu ‘Madam’ kudaiwa kushika ujauzito ambao mhusika bado ni fumbo, balaa limezuka kufuatia Mshindi wa Big Brother Africa Hotshots 2015, Idris Sultan kudaiwa kumtusi zilipendwa wa mrembo huyo, Mbongo Fleva, Nasib Abdul ‘Diamond’, Risasi Jumamosi linakujuza.
TUJIUNGE NA CHANZO
Kwa mujibu wa chanzo cha uhakika, Idris amekuwa akijitapa mitaani kuwa yeye ndiye kidume aliyeweza kumpa mimba Wema na kwamba ni daktari bingwa wa magonjwa sugu, yakiwemo ya uzazi kwani kwake kunapatikana tiba mbadala.
Majigambo hayo yanadaiwa kuharibu urafiki uliokuwepo baina ya wawili hao, kwani Diamond anachukulia kama ni kumtusi kwa vile aliwahi kujihusisha kimapenzi na Wema kwa muda mrefu bila kupata ujauzito.
diamond na wemaDiamond na Wema Sepetu, enzi zilee.
KAMA KUNA URAFIKI NI KIINI MACHO
“Kitu ambacho watu hawaelewi ni kwamba hivi sasa urafiki wa Diamond na Idris ni kiini macho tu, kwani majivuno ya Idris ya kutoka na Wema yameleta uhasama mkubwa, hasa baada ya kujigamba kuwa ameweza kumpa ujauzito.
“Inadaiwa juzikati Idris akiwa na Wema sehemu, rafiki zake wakawa wanampongeza kwa taarifa zilizosambaa kuwa yeye ndiyo amemdunga mimba mrembo huyo ambapo kijana huyo alisikika akisema hakuna mwanamke asiyezaa duniani, isipokuwa kinachotokea ni kuto-match (kuendana) kwa damu za wawili. Eti kwa kitendo hicho yeye ndiye kidume cha mbegu,” kilisema chanzo hicho.
ommy.jpgOmmy Dimpoz
OMMY DIMPOZ NAYE ATAJWA
Ommy Dimpoz ambaye ni rafiki wa karibu wa Diamond, naye anatajwa kuwemo katika watu wanaompiga vijembe kwa kufurahia kitendo cha Idris kumjaza mimba Wema kwa kile kinachosemwa kuwa wawili hao wana ka-bifu ka chini kwa chini, kisa kikiwa siri yao.
“Ommy Dimpoz naye ni miongoni mwa watu wanaosapoti kwa asilimia kubwa Idris kumpachika mimba Wema na kwamba anaonesha wazi kuunga mkono kila kitu kinachofanywa na kijana huyo katika kumuumiza Diamond kupitia mimba hiyo.”
DIAMOND ANASA UBUYU
Habari zinasema kuwa maneno yaliyokuwa yakitembea katika kundi la Idris yalimfikia staa huyo wa muziki wa kizazi kipya nchini, ambaye alisikitishwa na kitendo cha kuonekana kama hakuwa na uwezo wa kumpa mimba Wema, akitamka kuwa wanaomsema hivyo hawajui jinsi yeye na Wema walivyokuwa wakiishi kimapenzi.
idrissultanIdris Sultan
IDRIS HUYU HAPA, MSIKIE
Baada ya kumegewa ubuyu huo, juzi paparazi wetu alimtafuta mshindi huyo wa BBA aliyejishindia dola 300,000 (zaidi ya shilingi milioni 500) na kubahatika kukutana naye ana kwa ana katika eneo moja, nje kidogo ya jiji.
Alipoulizwa kuhusu ukweli wa madai ya kumtusi rafiki yake huyo, huku akichekacheka, Idris alishindwa kufunguka moja kwa moja, badala yake akasema hategemei kuja kuwa na tatizo na Diamond kwa sababu ya ujauzito wa Wema, hasa kwa kuwa tayari ana mtoto (Tiffah) aliyempata kwa mpenzi wake, Zarinah Hassan ‘Zari’.
“Diamond hawezi kuwa na mawazo hayo kwani haoni tatizo lolote kwangu kuwa karibu na Wema, hata nikizaa naye, kwa sababu uhusiano wao ulishamalizika.
“Hata hivyo hayo yatabaki kama madai. Mimi kuitwa kidume itatokana na namna waitaji watakavyokuwa wamenichukulia. Ila kiukweli sidhani kama kuna mtu anaweza kuja kuninunia kisa Wema maana suala la uhusiano au kuwa karibu na mtu inategemea tu na watu wenyewe jinsi wanavyoweza kuchukuliana na kuwaziana.”
KUANIKA KUHUSU MIMBA YA WEMA
“Suala la mimba ya Wema nitakuja kuliweka vizuri baada ya mwezi mmoja. Kwa sasa niache kwanza maana nina mambo mengi ya kufanyia kazi, sitaki kabisa kuanza kuvuruga mudi za watu na ndiyo maana naona hakuna haja kwa muda huu kuongelea ishu hiyo ila yasemwayo yanaweza kuwa na maana kama yameelezewa vizuri,” alisema Idris.
DIAMONDMbongo Fleva, Nasib Abdul ‘Diamond’.
DIAMOND NAYE HUYU HAPA
Gazeti hili lilifanikiwa pia kumnasa mkali wa kibao cha Utanipenda? Diamond ambaye baada ya kuelezwa kilichopo alisema kwa sasa hana muda wa kusikiliza maneno ya watu wala kujibu kila anachosikia, zaidi anahangaikia maisha yake ili kuweza kufikia ndoto alizojipangia kwa vile maneno yapo kila siku na hayaepukiki.
“Dah! Mimi sioni kama kuna kitu cha ajabu wala kuzungumzia hapo, zaidi naweza kusema mimi sina muda tena wa kuanza kuzungumzia mtu ila kila mmoja atabeba mzigo wake.
“Kwa sasa nawaza kukuza muziki wangu kwa namna moja au nyingine, siwezi kuendelea kuwawazia watu wakati mwenyewe nina mambo mengi ya kujiwazia,” alisema Diamond.
Photos:Lady Jaydee And Sauti Sol's Polycarp Otieno Caught Out In Polycarp's Hoem In The Morning

Photos:Lady Jaydee And Sauti Sol's Polycarp Otieno Caught Out In Polycarp's Hoem In The Morning

Lady Jaydee, everyone's favorite songstress in East Africa seems to be having something for her fans this coming year.
Even much sweeter is the fact that the new project features one of the most popular bands in the region Sauti Sol. Well the new project is yet to be announced only that the songstress left behind a telling message on her account. It may also be that she just enjoyed getting her work done by the amazing  touch of Polycarp Otieno.
Here is what she left for her fans;

Ukweli ni kwamba sitaki kurudi kuishi Bunda (Mara)
Ndio maana nimeamkia kwa@itsmefancyfingers

polycarpandjaydee.JPG

“I miss ugali a lot but I can’t cook it” admits Lupita Nyong’o


Oscar Award winning actress Lupita Nyong’o admitted that one of the things she misses most while away from Kenya is ugali, she also confessed that even though she owns a mwiko (wooden stirring spoon) she doesn’t know how to cook the popular dish.

Here is the excerpt from the interview with NTV’s Larry Madowo:
LARRY MADOWO: Do you miss living here? Is there anything you miss about Kenya?
LUPITA: I miss ugali a lot, because I also don’t know how to cook ugali.
LARRY: What do you mean you don’t know how to cook Ugali?
LUPITA: Yeah, I don’t know how to cook Ugali.
LARRY: That’s terrible.
LUPITA: I know it’s really, really bad. I have a mwiko but I don’t know how to cook ugali.

The actress is currently on a homecoming tour that will include art mentorship activities, as well as an awareness campaign on wildlife conservancy efforts in the Kenya.

Despite her love for ugali and the fact that Lupita can’t cook it, she does have more than enough money to hire the best cooks available!