Mange Kimambi has blasted Nape Nnauye after his statement concerning MPs from Opposition Parties



Tanzanian famous Blogger who is living in Los Angeles, Mange Kimange has blasted Minister for Information, Culture and Arts, Nape Nnauye on her Instagram account after Honorable Minister to give out his statement concerning Member of the Parliament from Opposition Parties's decisions of moving out during Parliamentary sessions taking place in Dodoma, MP's from Opposition parties have decided to go out for what they claiming about Deputy Speaker of the Parliament.
 This is what Mange Kimambe;

"Hive Nape anaongea niji? Eti upinzani wakichotaka kufanya ni kukataaa pesa ziende kwenye madawa etc. Yani anafanya Kama vile watanzania wapuuzi?? Yani Huyu Mtu?? Eti Uchaguzi ujao tupunguze vichaaaa??kwa taarifa yako Tutaanza na vichaa Kama wewe? Ungekuwa na akili timamu ungethubutu kuzima Bunge la Tanzania????? Kuna Mtu kichaa zaidi ya Mtu anaezima Bunge??? Watanzania wanaangalia Au kusikiliza Bunge Lao live toka Enzi za Nyerere Leo wewe unazima unadhani mzima wewe??? 😏😏Vichaa wa CCM Kina Agnes's MARWA, Yule wa kudai sanamu la diamond, Yule wa kudai uwanja wa push-up na Wananchi wake wasiibiwe wake zao na wanajeshi Au Yule msukuma wa kudai bangi iwe halali πŸ˜‚, Yule aliekuwa anatokwa povu Kisa wabunge kukatwa kodi, Kuna vichaaa Kama hao hungeni?? Au kuna kichaa Kama Naibu spika ambae anakataaa wabunge kujadili swala la Watoto wadogo kulala stendi Eti halina maana?? 😏😏😏... Tutaanza na nyie Le Akili Kubwaazzzzz ! πŸ™„πŸ™„"




And this is the Video of Nape Nnaye when was interviewed in Dodoma when asked about Member of the Parliament from Opposition Parties on their strike against Deputy Speaker of the the Parliament, Watch it!


Drop Your Comment Here


Related Posts


Previous
Next Post »